Kituo cha Kazi/Tukio: ZanzibarImetembelewa mara! 20770 ... Deadline: 2023-01-11 07:06:00
POST
MWALIMU “GRADE B” SAYANSI (DIPLOMA YA PHYSICS NA MATH) DARAJA LA III- UNGUJA - 34 POST
EMPLOYER
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
APPLICATION TIMELINE:
From: 04-01-2023 To: 11-01-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Kufundisha Skuli za Msingi.
Kutathmini maendeleo ya Wanafunzi.
Kutoa taarifa za tathmini na matokeo mbali mbali kwa uongozi wa Skuli.
Kujenga mashirikiano kati ya walimu, Wanafunzi na Wazazi au Walezi.
Kuandaa na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya Wanafunzi.
Kutoa ushauri nasaha kwa Wanafunzi, Wazazi na Walezi.
Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani Skuli katika ngazi anayofundisha.
Kutathmini Mitaala ya masomo wanayofundisha.
Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Awe Mzanzibari mwenye umri usizidi miaka 46
Awe na Stashahada ya Ualimu wa Msingi ( Diploma in Primary Education) ya Sayansi, kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.
REMUNERATION
ZPSD-08/SAYANSI
kwa maelezo zaidi tembelea link https://bit.ly/3WJIT6P