NAFASI ZA KAZI WALIMU GRADE B

Maelezo

Chanzo: ZanAjira



Tarehe Iliyotolewa: 2023-01-04



Kituo cha Kazi/Tukio: Zanzibar
Imetembelewa mara! 20770 ... Deadline: 2023-01-11 07:06:00

POSTMWALIMU “GRADE B” SAYANSI (DIPLOMA YA PHYSICS NA MATH) DARAJA LA III- UNGUJA - 34 POST
EMPLOYERWIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI
APPLICATION TIMELINE:From: 04-01-2023 To: 11-01-2023
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Kufundisha Skuli za Msingi.
  2. Kutathmini maendeleo ya Wanafunzi.
  3. Kutoa taarifa za tathmini na matokeo mbali mbali kwa uongozi wa Skuli.
  4. Kujenga mashirikiano kati ya walimu, Wanafunzi na Wazazi au Walezi.
  5. Kuandaa na kutunza kumbukumbu za maendeleo ya Wanafunzi.
  6. Kutoa ushauri nasaha kwa Wanafunzi, Wazazi na Walezi.
  7. Kutunga, kusimamia na kusahihisha mitihani Skuli katika ngazi anayofundisha.
  8. Kutathmini Mitaala ya masomo wanayofundisha.
  9. Kufanya kazi nyengine zinazolingana na majukumu yake kama atakavyopangiwa na Mkuu wake.

 

 

QUALIFICATION AND EXPERIENCE
  1. Awe Mzanzibari mwenye umri usizidi miaka 46
  2. Awe na  Stashahada ya Ualimu wa Msingi ( Diploma in Primary Education) ya Sayansi, kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.
REMUNERATIONZPSD-08/SAYANSI

kwa maelezo zaidi tembelea link https://bit.ly/3WJIT6P



Share via Whatsapp
Advertise with us

©2024 Zenji Shoppazz . Haki zote zimehifadhiwa | Imetengenezwa na W3layouts and Zenji Shoppazz Chagua lugha : English